Skip to main content

Fikira ya Maibada Kanisani

FIKIRA YA MAIBADA KANISANI

Fikira mbovu ya Ibilisi imetampibaa kanisani. Ijapokuwa mingi kati yao haimekani kwa jina, angalisho yenye busara imeonyesha matendo yayo ambayo iwezi kukawa kanisani.

Gnosticism

Kosa ya Gnosticism imekana nini na imefundisha nini mahali hapo ?

Imekana kwamba imani niya muhimu kwa wokovu.

Imefundisha kwamba maarifa ni ya muhimu kwa wokovu.

Mwenye kutetea maarifa kwa wokovu (Gnostics= wametia nguvu kwa maarifa (gnosis) badala ya imani (pistis). Mafundisho ya maarifa kwa wokovu (Gnosticism) siyo kwa imani kalini kwa akili. Mashabaa ya mafundisho hii yenye kuitwa hivi maarifa mafikirini kamini ya Mungu kuhusu mafundisho hii ni zaidi kuliko maibada katika ya kuwa imeambatanisha na kupatanisha ushuhuda wote wa mafundisho kuhusu mungu moja (Monotheism), mafundisho kuhusu miungu (Polytheism); aminio ya kuwa mungu aliumba na ameniliki juu ya wat na ulimwenu (theism) aminio katika Mungu yenye kuketi juu ya akili badala ya ufunuo na imekubali ya kuwa mungu aliitia ulimwengu katika matembezi lakini haguie jinsi imejiongoza (Deism), Mafundisho hii ilikuwa hasa kwa kazi zaidi. Kwa sencheri ya kumi na saba na kumi na nane; Aminis ya kuwa Mungu na ulimwengu yenye kuonekana ni moja na kitumoja na Mungu akuwapo katika kila kitu. (Pantheism). Tumehitaji imani katika yesu kristo na kupata hakikristo kwa mambo ya neno la Mungu. Tumehitaji neema ya mungu ili tupate kuishi maisha safina yenye haki katika kumcha Mungu. Maarifa peke yake haitoshi.

Phenomenolism

Kosa ya phenomenalism imekowa nini na imefundisha nini mahali hapo?

Imekana ya kuwa wenye haki wataishi kwa imani.

Imefundisha kwamba wenye haki wataishi kwa kuona.

Wametupa kuwako Mungu na wamekoma ile imeweza kuwa maisha kwa imani. Mahali hapo, mambo yenye kusikilika mwilini, imeitwa "dalili safi" hiyo ambayo maisha imetafakariwa kabla ya kitu chochote: vitu ni majeuzi sawa toka dalili ya kusikiya au mawazo katika maarifa ya…. Na maarifa ya fikira ya kupata kwa kusikia (Phenomenalism) mafundisho hii ni ono ya kuwa vitu vyenye mwili havikueko kama vitu katika vyenyewe lakini tu kama mambo yenye kusikilika au sensory stimuli yenye kuwa katika muda ya wakati na katika mahali. Kwa raisi, vitu vimekuato kwa sabadu tumeviona kuwa.

(Wenye kukana Mungu kwa matendo na …. Wametetea kidogo manene yenye kuwenda sawa sawa katika hii ya kuwa maarifa imeweza kupatwa tu kwa njia ya kutazama bila kizuio na kutenda, na siyo kwa njia ya kuhusu mungu au imani)

Secularism

Secularism ni kutosha dini kwenye mambo ya serkali kawaida; aminio ya kuwa dini na vitungo vyo dini havipashi kuwa katika mambo ya siasa nay a maisha ya kawaida au wakati vituo vya serkali vinaongozwa, hasa mashule. Hiyo aminio ni yenye kutupa dini au kutupwa kwa dini katika mbinu ya fikira na mwenendo. Amimo hiyo ni njia danganyifu. Wakurugenzi wa serkali walianguka katika mili. Tumetoka safari ndefu tangu wakati wa George Washington, Thomas Jefferson au Abraham Lincoln wote ni watu ambae walijua ya kuwa ushindi wa maongozi ya serkali ilimtegemea hatimaye Mungu. Sauti yah ii aminio ni kutafuta kujipendekeza na zaidi ya fikira yake alishawishi hata mafikiri ya kikristo. Wakristo wengi wamedhami kwomba kanisa hawezi kuingizima katika siasa na mafundisho ya watu. Kanisa iliruhusu mafikiri ya aminio hii kuyatisha kwa upande usiyo na nguvu ya uvumilivu nah ii amnio imeshuhudia ya kuwa ulimwengu yupo yote hapo yupo. Wamesema ya kuwa hakuna utu wa uungu ya katika maficho ya ulimiengu sauti yao imesikika ikisema "Tazama ulimwengu, dunia, hiyo mwaka tumeishi, kwa maana hii ndio yote imekuwapo. Kumbe ishi kutokana na hiyo, fanya ambayo umependa, na nyafanye sasa hivi- kwani leo tu ndio siku ya kuishi kwa ajili yao". Kwa mtenda dhambi ni sikuzote barabara yenye kuteremuka ambayo umekua mbavu sana, lakini kwa mwaminio ni umekuwa tu bora sawa na bora zudi ni sikuzote ijayo. Hali ya watu ya mafikiri sasa myangoni mwa wakristo leo yameyafanya kutazamia ya duniani zaidi kuliko ya rohoni nay a milele ni bila shaka ushawishi wa aminio hii yenye kuwa kwa kazi. Nguvu ya aminio hii imetiwa kwa yalia hapona sasa, na mwisho yake yenye kuondoa mafikiri yoyote kuhusu Mungu. Kwa hiyo, aminio hii imekuruhusu kuishi kama tumetaka "kama imekuwa bora, uyafanye" — hamna matokeo, wajibu, hatia, hamna haja ya kitu. Hii ndio shina ya fikira na ujumbe yenye kulalamika yenye kutangazwa kwenye tivi, muchezo kwenye tivi na ma namna nyingine zimeusika na matangazo ulimwenguni leo na pia katika kanisa yenye kupotoka.

Ufunuo 3:17-… Hujui ya kuwa wewe umyonge, na mwenye mashaka, na maskini na kipofu, na uchi:

Ufunuo 3:20- Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu atiisikia sauti yangu nakunfungua mlango, nikoingia kwake, nami nitakula pamoja naye, nay eye pamoja nami.

Bwana ni nje amebisha na nia ya kualitwa ndomi.

Humanism

Humanism imeshuhudia ya kuwa hii ni ulimwengu yenye katika ya yote mtu yenye kuwa na mtu kama mamlaka yake ya juu zaidi. Mtu ni shina ya ulimwengu na kwa kosa mwokozi wake mwenyewe. Wakati imeangalia maisha, mtu mapashwa kujiotoa mwenyewe kwa kumaliza ugonvi na vita na kwa kuendelesha maarifa, maarifa ya vifaa, na kazi ya utabibu ili ku paua maisha yake na kuifanya kuwa nzuri zaidi. Dunia imesema ya kuwa hakuna mungu au uwezo juu ya mtu mwenyewe. Afya, maisha na maendeleo yetu ya kesho imeketi yote mikononi mwetu wenyewe. Tupo walimu wenye kupanga hali ya maisha yetu wenyewe ya kesho. Aminio hii ni fikira yenye kufundishwa popote na ambayo imepuènguza au imelegeza imani ya wengi dunaiani pote. Mtu ni kiumbe chatabia ya rohoni na amehitaji zaidi kuliko yale yametoka kwa ulimwengu ya tabia ya mwilini ili aishi kweli (Mathayo 4:4; zaburi 107:20; zaburi 42:11; 43:5; Mithil 3:8; 4:22; 12:18; 13:17; 16:24; Yeremia 30:17,33:6; 3 Yohona 1:2, Mithili 3:5-4

Relativism

Relativism ni aminio katika kipimo kimeweza kubadilisha: aminio ambayo imetamkwa sawa kweli na uingo, mema na mabaya, au kweli na udonganyifu haito kamili lakini imebadilika toka tabia kwa tabia na mambo kwa mambo.

Aminio hii imefundishwa na watu ambae wamesema hakuna kamini ya mwenende kamili, hakuna cha kuhogopa, na cha kushakia mamlaka yote. Wamesema ya kuwa amri kumi ya Mungu ni tu yenye kuletwa kwa kusaili na siyo amri. Katika aminio hiyo, kila mambo imepanga yalio kuwa sawa au wango. Tendo imeweza kuwa mbaya leo, lakini kesho imekuwa sawa. Kuisha kwa wakati ingine na kwa saa tafauti, imeweza kuwa mbaya tena. Ndio hiyo imejulikana sawa hali ya kanuni ya mwenendo. Fikiri hii imemruhusu mtu kubadilisha makanuni kutoka na kila hali ya maisha. Basi, hakuna kweli makanuni. Hakuna kitu kimekuwa "sikuzote sawa" au "sikuzote mbaya" kwani mwenendo yote ni yenye kubadilika. Hakunakwa raisi kamini ya mwenendo kamili au hivyo wamedhami.

(Malaki 3:6; waebrania 13:8; Mithili 24:21)

Materialism

materialism ni mafundisho ya fikira ya yenye kuwa na mwili. Mafundiso ya kuwa kitu kwenye kuwa na mwili ndio tu kweli nay a kuwa hali ya akili sawa… akili, fikira na tama itafasiriwa mwisho yake kama kazi ya mwilini. Imetazamia mapato: bidii kwa utafiri wa vitu na mapato kwa uharibifu ya makanuni ya akili ni na ya rohoni.

Mafundisho hie imetazamia tu mapako ya vitu na anasa ya dunia. Lengo yake ya kwanza ni maisha raisi, yenye raha na anasa. Anasa ya mwili na mapato ya vitu imekuwa lengo ya maisha ya mtu katika mafundisho hii. « Hamna kitu juu ya hii ulimiengu ya vitu ; kwa hiyo, imempasa mtu kujifurahisha katika anas aya mwili na roho ya dunia kila siku ya maisha yake ». thii fikira imeharibu watu peke ayo na maisha ya watu, imewahsa zaidi na zaidi tamaa ya watu kuhusu mapato na zaidi na zaidi kuhusu nguvu (uwezo) na zaidi na zaidi kuhusu anasa kama matokeo, mwenendo na ustahivu wa wengi imeanza kuharibika na hali sawa ya mataifa imeanza kuguswa. Wakolosai 3 :2 1 Timotheo 6 :5 ; 9,10 ;17 ;1 Yohana 2 :15-17 ; 2 Timotheo 2 :4 ; Luka 8 :14

Progmatism

Progmatism imeshuhudia ya kuwa kweli imeonyeshwa ma majibu ya matendo. Kama imetenda, ni kweli na imepashwa kufanya. Basi, ikiwa umeona mwenendo au tendo fulani imekuwa bora kwako, ikiwa imezara majibu (matunda) umetaka, kumbe uifanye.

Ni yenye kutenda au kuleta majibu njemba kwako. Hata kama haitii amri ya Mungu au neno lake, uyafanye. « Mwisho au jibu imeifanya kuwa haki matendo » ni mfano nzuri ya hiyo mafundisho ya fikira. Kwa mfano, mwenye kunza au kizwanda amefungwa kweli katika tangazo ya biashara na kama matokeo ameuza biashara bingi zaidi, kumbe ilikuwa safi au ilitenda.

Basi ni mambo nzuri ya kufanya-yapokuwa kweli ilibadilishwa kwa uongo na watu walidanganywa.

Maendelelo and na mambo yake yenye kuchamgamana A.Mafundisho kulingoma na imani
MAFUNDISHO-Maendeleo ndio jibuIMANI-Mungu ndio jibu
Mafikiri kudhani, Munio, hakikisho, bidii, utii
Mawazo yasiyo kamili ambayo imebadilika-badilikaMambo kamili yasiyo badilika
Yenye kutiliwa pamoja kwa mafikiri ya mtuYenye kujengwa juu neno la Mungu
Yenye kutetea ya kuwa humanimu ndio leo Yenye kuena Mungu katikati ya yote kuwa ndio leo
Mtu ana "Shabaa" kamili (kwa masibu)Shabaa ya mtu ni kwa umoja na Mungu
Maisha yenye kubadilikaMwamba yenye nguvu
Wongo Kweli
Hamna matoleo kwa ajili ya mwokoji Imani katika yesu ni shima ya wokovu

Mwanzo 2 :7 ; I wakorintho 1 :9 ; waebrania 9 :27

Chanzo ya Maendeleo

Mafundisho ya maendeleo yana mwanzo yalio kuwa mengi ambayo haiwezi kukubalika. Maendeleo ilikuwa mafundisho katika misri ; walifundisha ya kuwa maisha iliendelea toka… juu ya bahari Nile. Hii iliefanya nile itolewe ibada. Tena Anstaile alifundisha maendeleo katika mawaka miya ine mbele ya kristo. Charles Darwin aliandika tu mafundisho kadha wa kadha bila kazi ndefu ya maaifa. Wengine waliyachukua yale mawazo na walijaribu kuyafanya tangazo. Imani katika umbo ina mwanzo moja tu: Mungu aliumba vyote.

Mwanzo 1:1- Katika mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia.

Mwanzo 1:27; 2:4,7;5:1,2; Wakolosai 1:16,17; Yohana 1:1-4; Mwanzo 1:26-27; Yobo 33:4; Yohana 17:5;

Mafundisho ya maendeleo ni msingi wa mafundisho ya mtu (humanism) ya ubaguzi wa ngozi (racism), an mawazo mengi mengine ya hatari yenye kuambatana na hiyo.

Humanism imefundisha ya kuwa mtu ni mungu wake mwenyewe mwenye kumwachilia kwa uharibifu au utukufu wake mwenyewe. Maendeleo na humanism yote mbili imepeleka kwenye ubaguzi wa ngozi. Uyasome mukta yuote ya kitabu cha Dauwin (nguvu yenye kuyongezeka)

"Chanzo ya ma aina ya upekuzi ya asili au, kuyalinda ngozi yenye kufadhiliwa katika mapigama kwa ajili ya maish"

Maendeleo ni msingi ya Socialism, communism, Nazism, dini moja duniani. Hali mpya duniani, na aina nyingine ya ubaguzi wa ngozi.

Maendeleo imeketijuuu ya miamba na kuu ambayo yamejaribu kuhairub makanuni yote ya mwenendo na yameelekea mtu yo yote ambae atayasilikza

Yohana 8 :44- Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi na kamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda, yeye alikuwa muouoji tanfu mwanzo wala hatusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndoni yake. Asemapo uingo, husema yaliyo yake mwenyewe ; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.

Karl Marx ni mwenye kuunda communism ambae alikuwa na watoto sita: watatu walikufa kwa njaa kama watoto wachanga na wawili walijiua. Ni watu tu wasika walindhunia kilio hiki.

Mipango ya kicomminist ya mwaka 1848

Ya Karl Marx yameonyesha namna gain kuharibu nchi.
Kuvunja mapato ya upekee
kadi kwenye mshahara yenye kwendelea (zaidi wamefanya, zaidi ume chukua)
kuvunja haki ya kurithi
kupokonya haki ya mapato
benki kubwa (ilichikuwa na ilitumika kwa njia Government ya upekee (federal)
serkali ilichukua communication na TRANSPORTATION
serkali imechukuwa vifaa vya kazi na mlimo
serkali imeangalia kazi
mipango kijimba
mafunzo ya bure kwa njia ya serkali imeangalia ma shule

Hitler aliseam chunguza kitabu, chunguz serkali.

Communism na socialism ni maadui ya uhuru na capitalism. Communism itaharibu marekani ikiwa monetani haiharibu communism communism imemnyanganya mtu peke yake nafasi moja moja ambayo wababu wao walikuwa nayo na wengi myangani mwao walitoa maisha yao kwa kuyalinda.

Makanuni ya kicommunist kwa ajili ya mapinduzi
Kuharibu vijama; kuwaandaa kwenye dimi ya kweli
kuharibu kanuni bora ya mwenendo
kuchochea ghasia ya raria na kulegeza hali ya serkali kwa uwaji
kugaa watu kwenye makundi za kutokushirikiana (rangi ya ngozi dini) ufisadi wa mume kwa mime
kuyakosha akili ya watu kwenye maangozi ya serkali yae kwa kujipana kwenye michezo, kutombana, kazi, uvumilivu, na kadhalika.
kuchunguza vyombo vyote vyenye kuusika na tangazo
kuharibu vinani ya watukatika vyongozi wao

kuhesabu masilahaa yote kwa sababu Fulani, ili kusudi koypokonya na kuachiliwa bila msaada

Isaya 42:5- Nihiyo Bwana Mungu amesema huyo ambae aliumba mbingu na kuyaponua ambae alipanua dunia na vyote vimetoka huko, ambae ameleta pumzi kwa watu wake na uhai kwa wale ambae wametembea juu yake.

Malaki 2:10- Tumekuwa wote na baba moja. Siyo mungu moja alituumba? Mbona tume najisi agano ya wababa wetu kwa kutokuaminiana?

Marekani ina sikuzote msingi wake juu ya milya ya kikristo na tangu mwanzo wake ilibaikiwa na mungu (Isaya 18:2,7;Matendo 2:5,21)

  • Tangu mwanzo Marekani ilikingwa na makanuni ya mwenendo bora
  • Wakaaji wa marekani wa kweli wamepashwa kuamka sasa au hii taifa nayo itaanguku piya
  • Yesu kristo nib wan na kila goti zita kunjwa.
Yeremia 50:12- Mama wako atakayarika sama; huyo ambae alikuzaa araulika, atakuwa ndogo zaidi wa mataifa-jangwa, udongo mkavu.
Yeremia 50:15- Piga kelele kwake upande zote! Amejitia, mina yake imeanguka vyambaza vyake vimevundika na kwanguka. Tangu hii ndio kisasi ya briana, umlipaze kisasi; mutendee jinsi aliwatendea wengine Mungu atahukumu marekani kwa ajili ya dhambi zake kama hatubu.

Maendelee iliunda uongo

Umbo imeketi juu ya neno la Mungu

Waebrania 1:2,3- Mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliyfanya ulimwengu. 3 yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wa chapa ya nafsi yake akivichukua vyote kwa amri ya uwezo wake, akiisha kufanya utakaso wa dhombi, aliketi mkono wa kuume wa ukuu huko juu.

Imani katika yesu kristo ndio msingi ya wokovu. Mafundisho ya mtu haitaakoa hata mtu moja.

Yohana 14:6- yesu akamwambia, mimi ndimi njia, na kweli, na uzima, mtu haji kwa baba, ila kwa njia ya mimi.

(Mathayo 1:21; Marko 1:15; Luka 5:32; Matendo 16:31; Warumi 10: 9,10; I Wakorintho 3:11)

Kutokujali

Kutokujali ni pito ya maisha yenye kushikwa na wengi Asiyejali Yenye kudhuru: yasipo kuwa na faida kama matokeo ya yenye kulimisha nguvu ndogo ya akili. Purposelesi: yonyo kuwa na shabaa: yenye kuonekana kuwa bila shabaa au sababu ya kweli. Bila shuguli: hasiye jail au kuwa na shyuguli

Wafilipi 2:5; Waebrania 12:2-3; Isaya 26:3;1 Yohana 3:8

Kutokujali imeonyesha ya kuwa mtu ametembea kwa njia ya maisha bila kufikir, kwa muda kama amefanya angalisho kamili kwa mwenendo, maisha ya kesho, mungu, au kwa kuweza kupata maisha nyingine nje ya dunia hii. Mtu hasiye jail ameishi tu kwa ajili ya leo, mwenye kusifunga katika maisha yake na mafikiri yake mwenyewe, tama zake na mahitaji yake mwenyewe. Kidogo kama mtu ameshungulikia mambo nyingine yo yote hisipo kuwa yeye mwenyewe katikati ya dunia. Tumehitaji kuongozwa na Roho mtakatifu na siyo kutembezwa na shabaa ya uchoyo.